Sheria Kiganjani icon

Sheria Kiganjani

34.2 for Android
4.5 | 10,000+ Installs | Reviews

Bluefin Solutions ltd

⚠️ You need 9Apps App to install .XAPK File. How to install XAPK?

Description of Sheria Kiganjani

What makes me unbelievable is that 20,000+ users downloaded Sheria Kiganjani latest version on 9Apps for free every week! With unexpected, recently it has become very popular in India. This hot app was released on 2018-11-30. For more mobile apps information, you can go to our official website - 9Apps.
SHERIA KIGANJANI ni mradi uliobuniwa kwa pamoja na wanasheria na wataalamu wa teknolojia ya habari na mawasiliano kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa msaada wa kisheria kwa watu wote, wakati wote na kwa gharama nafuu
Kupitia mradi huu kila Mtanzania atakuwa na fursa sawa ya kupata maarifa ya kisheria kulingana na mahitaji yake
Faida za mradi huu ni pamoja na kupunguza mrundikano wa mashauri katika mahakama, kutoa fursa kwa wananchi kuzungumza na wanasheria wakati wowote kadiri ya mahitaji na changamoto zao, na pia kuwezesha wananchi kutambua haki na wajibu wao kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.
Huduma ya SHERIA KIGANJANI itapatikana wakati wote. Huduma hii itatolewa kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu (sms), mazungumzo mubashara kwa njia ya simu baina ya wanasheria na wateja wetu, makala na uchambuzi wa kisheria kuhusu masuala mbali mbali ya kijamii, nk.
Mteja pia atakuwa na uwezo wa kusoma hukumu mbalimbali zilizotolewa na Mahakama za ndani na nje ya nchi ili kujiongezea ujuzi, kupata kwa urahisi nyaraka mbalimbali za kisheria ili kukidhi mahitaji yake na pia kuunganishwa na mawakili waliomo katika eneo analoishi. Huduma itapatikana pia kwa njia ya sauti.
SHERIA KIGANJANI inaleta mapinduzi katika namna ya utoaji wa huduma za kisheria nchini kutokana na hatua kubwa iliyofikiwa katika teknolojia ya habari na mawasiliano.
SHERIA is a project created jointly by lawyers and experts of information technology and communication aimed at simplifying access to legal support to all people at all times and at low cost
Through this project every Tanzanian will have the same opportunity to obtain legal knowledge according to its needs
The benefits of this project include reducing the risk of consulting in the courts, giving people the opportunity to talk to lawyers at any time in terms of their needs and challenges, as well as to enable citizens to recognize their rights and responsibilities for individual and national development in general.
GENERAL SERVICE ONLY will be available at all times. This service will be provided via SMS (sms), telephone interviews between lawyers and our clients, articles and legal analysis on various social issues, etc.
The Client will also be able to read the various judgments provided by Internal and Foreign Courts to enhance knowledge, to obtain a variety of legal documents to meet its needs and to be linked to lawyers in the area where they live. The service will also be available through audio.
SHERIA SHOULD bring a revolution in the form of legal services delivery in the country due to a major step forward in information and communication technology.

What's New with Sheria Kiganjani 34.2

Programu hii inakuwezesha kupata taarifa, msaada au ushauri wa kisheria mtandaoni.

Information

  • Category:
    Education
  • Latest Version:
    34.2
  • Updated:
    2021-07-08
  • File size:
    15.2MB
  • Requirements:
    Android 4.4 or later
  • Developer:
    Bluefin Solutions ltd
  • ID:
    com.sheria.kiganjani
  • Available on:
Reviews
  • avatar
    Nzuri lakini kuna wakati inakwamakwama
    2020-04-10 01:33
  • avatar
    Great amazing App........ But when I click part for Latin maxims It doesn't open up..... So an advice to you (responsible people), kindly look for the solution on this... Thank you.
    2020-02-11 08:01
  • avatar
    Great
    2019-09-17 09:01
  • avatar
    app bomba sana
    2019-08-08 09:57
  • avatar
    Exeptional
    2019-07-05 09:23
  • avatar
    nimeipenda na naipenda kuijua sheria na haki yangu kupitia sheria kiganjani.app nzuri good.
    2019-06-24 09:36